Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Friday 10 January 2014

COASTAL UNION NDANI YA MUSCAT



Msafara wa Coastal Union baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Muscat, Oman jana kwa mwaliko wa klabu ya Fanja ya Oman. Coastal itakuwa huko Januari 23 kwa mazoezi na mechi za kujipima nguvu.

Wachezaji wa Coastal kutoka kulia Razack Khalfan, Jerry Santo na Haruna Moshi 'Boban'


Kipa Shaaban Kado na Razack Khalfan kushoto

No comments:

Post a Comment