Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Monday 12 May 2014


           KWA HABARI ZA MICHEZO,KITAIFA NA KIMATAIFA BONYEZA HAPAKWA HABARI ZA MICHEZO,KITAIFA NA KIMATAIFA BONYEZA HAPA

WWW.HAKILEO.BLOGSPOT.COM

ESSIEN NA BOATENG WAITWA KIKOSI CHA KOMBE LA DUNIA GHANA PIA KIFAHAMU KIKOSI CHOTE CHA GHANA

GHANA imewajumuisha Michael Essien na Kevin-Prince Boateng katika kikosi cha awali cha wachezaji 26 kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia.
Kikosi hicho kitapunguzwa na kubaki wachezaji 23 baada ya mchezo wa kirafiki na Uholanzi Mei 31, ambacho ndiyo watakwenda Brazil.
Essien na Boateng wameitwa baada ya kurejea kwenye soka ya kimataifa mwaka jana, kufuatia awali kuomba kujipumzisha kuichezea timu hiyo.

Kazini: Nyota wa AC Milan na mchezaji wa zamani wa Chelsea, Michael Essien ameitwa kwenye kikosi cha Ghana

Ghana ipo Kundi G pamoja na Marekani, Ujerumani na Ureno.

KIKOSI KAMILI HIKI HAPA;
Makipa: Stephen Adams (Aduana Stars), Fatau Dauda (Orlando Pirates), Adam Kwarasey (Stromsgodset)
Mabeki: Harrison Afful (Esperance), Jerry Akaminko (Eskisehirspor), John Boye (Stade Rennes), Samuel Inkoom (Platanias), Jonathan Mensah (Evian Thonon Gaillard), Daniel Opare (Standard Liege), Jeffrey Schluup (Leicester City), Rashid Sumaila (Mamelodi Sundowns)
Viungo: David Accam (Helsingborg), Afriyie Acquah (Parma), Albert Adomah (Middlesbrough), Emmanuel Agyemang Badu (Udinese), Kwadwo Asamoah (Juventus), Christian Atsu (Vitesse Arnhem), Andre Ayew (Olympique Marseille), Michael Essien (AC Milan), Rabiu Mohammed (Kuban Krasnodar), Sulley Muntari (AC Milan), Mubarak Wakaso (Rubin Kazan)
Washam uliaji: Jordan Ayew (Sochaux), Kevin Prince Boateng (Schalke 04), Asamoah Gyan (Al Ain), Abdul Majeed Waris (Valenciennes).
CHANZO BIN ZUBEIRY


WWW.HAKILEO.BLOGSPOT.COM