Mwigizaji huyu ambae analipwa mshahara wa milioni 17 mpaka 20 kwa mwezi ndani ya kampuni ya Steps iliyomwajiri, anamiliki pia daladala tatu za kubeba abiria hukohuko kwake 96.0 Tanga alikozaliwa miaka 65 iliyopita huku wazazi wake wote wakitokea mkoani Kigoma.
Hii Noah nyeupe haifanyii biashara, mara nyingi ndio anatumia kuitembelea











No comments:
Post a Comment