Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Monday 28 October 2013

Diamond afanya collabo na Davido




Muziki wa Afrika mashariki ulikuta na muziki wa Afrika Magharibi kwa mara nyingine baada ya Davido na Diamond kuingia studio na kufanya remix ya wimbo My number one. Wimbo huo wali-perform kwa mara ya kwanza kwenye show ya fiesta iliyofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders club.Bado taarifa za uwezekano wa wawili hao kufanyia video huo wimbo hazijatoka
Show ya pamoja kati ya Diamond na Davido ilikuja baada ya show kali aliyofanya Davido ambayo ilivutia wapenzi wengi wa muziki waliofika kwenye uwanja wa Leaders kwa ajili ya kuangalia performance za wasanii ambao hawakuweza kupanda usiku wa Jumamosi.

No comments:

Post a Comment