Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Friday 22 November 2013

Pichaz za jinsi Ismail Aden Rage alivyopokewa Airport Dar usiku huu

Kama umemis Kauli ya Rage kuhusu kusimamishwa Uwenyekiti wa Simba soma post iliyopita kuna kila kitu.


FIFA YABADILISHA TAREHE YA KUPIGA KURA ZA KUMCHAGUA MCHEZAJI BORA WA DUNIA





Cristiano Ronaldo sasa yupo katka nafasi nzuri ya kutwaa tuzo yake ya pili ya Ballon d'Or baada ya kufunga mabao matatu yaliyoipeleka Ureno kombe la dunia 2014.
Kwa mujibu wa Sporting Life, Ronaldo amemuondoa Franck Ribery katika kilele cha listi ya wachezaji waliokuwa wakipewa nafasi kubwa ya kutwaa tuzo hiyo.

Pia imeripotiwa kwamba shirikisho la soka duniani FIFA limeongeza muda wa kupiga kura za kumchagua mshindi wa 2013 Ballon d'Or.
Uamuzi wa FIFA kuruhusu makocha na manahodha pamoja na waandishi kuwasilisha majina matatu ya Top 3 kabla ya Nov. 29 tofauti na mwanzo ilivyokuwa Nov. 15, limeleta maswali mengi kutoka kwa wadau wa soka kama ilivyoripotiwa na ESPN FC.

Monday 18 November 2013

UHURU SULEIMAN MWAMBUNGU AREJEA SIMBA SC, ASEMA NI WAKATI WA KULIPA FADHILA MSIMBAZI



WINGA Uhuru Suleiman Mwambungu ameamua kurejea klabu yake ya Simba SC kumalizia Mkataba wake wa miezi saba kutoka Coastal Union ya Tanga alikopelekwa kwa mkopo mwanzoni mwa msimu.
Uhuru aliyekwenda Coastal akitokea Azam FC alikocheza pia kwa mkopo kwa nusu msimu, ameiambia BIN ZUBEIRY jana usiku kwamba tayari amekwishafuata taratibu za kumrejesha klabu yake.Amesema amekwishauarifu uongozi wa Coastal ambao umeandika barua ya kumrejesha Simba SC baada ya kuitumikia vizuri klabu hiyo katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu.

Sunday 17 November 2013

CAMEROON YA ICHAKAZA TUNISIA 4-0

Abraham Lincoln Quotes

Share with your Friends

Everyone likes a good quote - don't forget to share.

Biography

Nationality: American
Type: President
Born: February 12, 1809
Died: April 15, 1865

Links

Quotes about Abraham Lincoln
Find on Amazon: Abraham Lincoln
Cite this Page: Citation

Read more at http://www.brainyquote.com/quotes/authors/a/abraham_lincoln.html#IQYKFzw7jclE2TCx.99