Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 30 November 2013

Breaking News Mwanamziki wa kizazi kipya TID anashikiliwa na jeshi la polisi




Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed 'TID' yupo mahabusukatikaKituo cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya......

Poulsen: Uwanja ulituangusha


Nairobi. Kocha wa Kilimanjaro Stars, Kim Poulsen amesema mipira ya juu pamoja na Uwanja wa Kenyatta uliopo Machakos kujaa maji ndiyo kilichoifanya timu yake kushindwa kuisulubu Zambia.


Stars ilitoa sare ya bao 1-1 na Zambia kwenye mechi yake ya kwanza ya kundi B ambayo ilitoa nafasi kwa Burundi iliyoichapa Somalia mabao 2-0 kuongoza kundi.


Poulsen alisema,”Kipindi cha kwanza tulikuwa tunapiga mipira mirefu ile siyo staili yetu, ndiyo maana timu ilishindwa kucheza mpira mzuri.”

Mzungu wa Simba kutua kesho

Pambano baina ya wapinzani hao wa kihistoria katika soka la Tanzania litapigwa Desemba 21 kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Akizungumza na Mwananchi jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Sued Nkwabi alisema mazoezi hayo yataanza chini ya kocha mpya wa timu hiyo Mcrotia, Zdravko Lugarusic atakayetua nchini Jumapili.

Friday 29 November 2013

ajue mambo 6 kutoka kwa Masanja Mkandamizaji.



Kwa mujibu wa Masanja Mkandamizaji haya ni mambo sita ambayo unatakiwa kuyafanya kabla haujalala.

Maoni yako ni yapi?

www.tabasamuleo.blogspot.com

Thursday 28 November 2013

STARS YATOA SARE NA MABINGWA WA AFRIKA, KIWANGO CHA TIMU CHARIDHISHA



Mrisho Ngassa akishangilia baada ya Said Morad (hayupo pichani) kuisawazish Stars, huku kipa wa Zambia na mabeki wake wakiwa wameduwaa
Na Mahmoud Zubeiry, Machakos
TANZANIA Bara, Kilimanjaro Stars imeanza taratibu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge baada ya kutoa sare ya 1-1 na mabingwa wa zamani wa Afrika, Zambia au Chipolopolo kwenye Uwanja wa Kenyatta, Machakos, Kenya.

Wednesday 27 November 2013

ZANZIBAR HEROES YACHINJA - WAIPIGA SUDAN NA KUONGOZA KUNDI



Zanzibar Heroes imeanza nzuri kampeni yake ya kugombea kombe la GOtv Cecafa Senior Challenge Cup baada ya kuifunga timu ngumu ya South Sudan 2-1 katika mchezo mgumu wa ufunguzi wa michuano hiyo katika uwanja wa Nyayo National Stadium.

MAN UNITED YAFANYA MAUAJI, YAWAPIGA WAJERUMANI 5-0 NYUMBANI KWAO









wachezaji wa Manu wakishangilia moja ya magoli yao
Wyne Rooney na Giggs wakifurahia ushindi

Kagawa akikata mbuga kuelekea kutafuta goli

MANCHESTER United imefanya mauaji makubwa ugenini, baada ya kuitandika Bayer Leverkursen mabao 5-0 nchini Ujerumani katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Ulaya.

Sunday 24 November 2013

RAGE AITUNISHIA MISULI TFF, ASEMA HAITISHI MKUTANO NG'O

Zifuatazo ni kauli za Ismail Aden Rage ambazo nimemnukuu akiongea na Waandishi kutokana na stori zilizochukua headlines kwa siku kadhaa kuhusu Kamati kumsimamisha kama Mwenyekiti wa Simba.

1. ‘Kwanza napenda kuipongeza kamati ya utendaji ya TFF kwa kuafiki mimi Ismail Aden Rage ndio Mwenyekiti halali wa Club hii ya Simba na nimepata barua yao jana ileile, katika katiba ya Simba kuna kitu wengi hawajui maana ya Kamati ya utendaji wanadhani ni wale watu saba… hapana!!! kamati ya Utendaji ni Mwenyekiti, Makamu wa Mwenyekiti… hamna kaimu hapo, kuna Wajumbe 7 waliochaguliwa katika mkutano halali… , Wajumbe saba wa kuchaguliwa mmoja wapo akiwa ni Mwanamke na wengine wawili wa kuteuliwa na Mwenyekiti, leo nitateua mwingine mmoja.. nimetoa mmoja’

Matokeo ya Cardiff vs Manchester United Nov 24 na wafungaji wake

Hii ni moja ya mechi nyingine kubwa za Premier League November 24 2013.

 
www.tabasamuleo.blogspot.com

MAN CITY YAIFUMUA SPURS 6-0

BAO la mapema sekunde ya 14 la Jesus Navas lilifungua biashara nzuri leo Man City ikiibuka na ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Tottenham. Winga huyo wa Hispania, Navas alifunga bao la pili la mapema msimu huu kufuatia makosa ya kipa wa Spurs, Hugo Lloris. Sandro alijifunga dakika ya 34 kuipa bao la pili timu ya Manuel Pellegrini kaba ya Sergio Aguero kufunga mawili dakika za 41 na 51, Alvaro Negredo akaongeza dakika ya 56 na Jesus Navas akahitimisha karamu ya mabao dakika ya 90. Kikosi cha Man City kilikuwa: Pantilimon, Zabaleta, Demichelis, Nastasic/Lecsott dk45, Clichy, Toure, Fernandhino, Navas, Negredo, Nasri/Milner dk77 na Aguero/Garcia dk69. Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Kaboul, Vertonghen, Sandro, Lennon, Holtby/Adebayor dk45, Paulinho/Dembele dk60, Lamela na Soldado.
www.tabasamuleo.blogspot.com

BAYERN YAItandika DORTMUND 3-0


Bayern Munich (HM)


MSHAMBULIAJI Mario Goetze ameifunga klabu yake ya zamani, Borussia Dortmund ikilala 3-0 mbele ya wapinzani Bayern Munich katika mechi kali ya timu mbili zinazofukuzana kuwania ubingwa usiku wa jana.
Goetze alifunga dakika ya 66, dakika 10 tangu aingie kutokea benchi, The Bavarians wakishinda mechi ya kwanza ya ligi dhidi ya Dortmund tangu 2010.
Arjen Robben alifunga bao la pili zikiwa zimesalia dakika tano na Thomas Mueller akahitimisha karamu ya mabao ya Bayern. Chanzo: Sportmail
www.tabasamuleo.blogspot.com 

PACQUIAO AMTANDIKA Brandon Rios



Bondia Manny Pacquiao


BONDA Manny Pacquiao amerejesha heshima baada ya kumpiga kwa pointi Brandon Rios mjini Macau asubuhi ya leo.

Mfilipino huyo alirejea ulingoni baada ya mwaka mmoja tangu apigwe kwa Knockout na Juan Manuel Marquez.

Na alishinda kila raundi hivyo kuweka hai matumaini ya kupigana katika pambano la dola za Kimarekani 300 dhidi ya Floyd Mayweather Jnr.

Alipata pointi 10 dhidi ya tisa kila Raundi katika Raundi 10 na mwisho wa siku akakusanya pointi 120 kwa 109. Chanzo: sportmail
ww.tabasamuleo.blogspot.com

Wafungaji, Misimamo VPL and FDL



NO TEAMS P W D L GF GA GD PTS

1 Azam FC 12 7 5 0 20 7 13 26

2 Mbeya City 12 7 5 0 17 8 9 26

3 Young Africans 12 7 4 1 28 11 17 25

4 Simba SC 12 5 6 1 22 11 11 21

5 Mtibwa Sugar 12 5 4 3 17 15 2 19

6 Kagera Sugar 12 4 5 3 13 10 3 17

7 Coastal Union 12 3 7 2 10 6 4 16

8 Ruvu Shootings 12 4 4 4 13 13 0 16

9 JKT Ruvu 12 4 0 8 9 16 -7 12

10 Rhino Rangers 12 2 4 6 9 16 -7 10

11 JKT Oljoro 12 2 4 6 9 16 -7 10

12 Ashanti United 12 2 4 6 10 20 -10 10

13 Tanzania Prisons 12 1 5 6 6 16 -10 8

14 Mgambo JKT 12 1 3 8 3 21 -18 6

TOTAL 84 27 30 27 186 186 0 222

www.tabasamuleo.blospot.com

Pichaz za Waliojitokeza kumsikiliza Zitto Kabwe leo, wakiwemo Wazazi na Wasanii 7 wa bongofleva

2Ukiachia mbali camera nyingine, camera za video peke yake za waandishi wa habari kwenye mkutano wa Zitto Kabwe na Waandishi wa habari zilikua zaidi ya 20.
3