
14:45 Manchester City na Everton
17:00 Cardiff City na Newcastle United
17:00 Fulham na Stoke City
17:00 Hull City na Aston Villa
17:00 Liverpool na Crystal Palace
19:30 Sunderland na Manchester United

Azam Media Limited imefanikiwa kukamilisha utaratibu wa ushirikiano na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) utakaowawezesha mashabiki wa kandanda kote nchini kunufaika kwa kuona michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom kila mwishoni mwa juma hadi kukamilika kwa nusu ya msimu wa 2013/14 kupitia TBC1 kwa hisani ya AzamTV.


Stori: Waandishi Wetu












Na Mwandishi Wetu







Miss Utalii Tanzania 2013, Hadija Said Mswaga, amesema kuwa kupatikana kwa nyati mweupe wa ajabu na pekee duniani katika hifadhi ya Ngorongoro, imekuwa ni chachu na kichocheo cha pekee kwake katika mpango mkakati wake wa kuitangaza Hifadhi ya Ngorongoro kitaifa na kimataifa, ambapo kwa kuanzia ameamua kuanza kampeni hiyo kupitia mashindano ya dunia anayokwenda kushiriki ya Miss Tourism World 2013, ambayo mwaka huu yanafanyikia nchini Equatorial Guinea Octoba 12, 2013.www.tabasamuleo.blogspot.com
