Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Tuesday 1 October 2013

IRENE UWOYA ajiuzulu muve BONGO, asema HATA IGIZA TENA

"ww.tabasamuleo.blogspot.com NIMEAMUA KUACHA MAMBO YA MOVIE NA KUWAACHIA WENGINE"

Msanii maarufu wa bongo movie Irene Uwoya ameaacha rasmi kuigiza bongo movie na kuamua kundelea na shughuli zake nyingine kama TV SHOWS.


Kupitia website ya DSTV Irene Uwoya alifunguka na kusema “Nimeamua kuacha mambo ya movie na kuwaachia wengine, haya maamuzi nimeyafanya kama miezi sita iliyopita… Mara ya mwisho kuigiza ni zaidi ya miezi sita iliyopita pia.”
Movie alizocheza mpaka sasa zinafika 40 lakini za kwake ni nne tu na amekiri kwamba kuacha kwake kuigiza hakuta mshushia kipato chake cha siku zote ambapo kwa movie moja ya kwake mwenyewe alikua anaiuza mpaka kwa milioni 35.
source DSTV

No comments:

Post a Comment