Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Thursday 3 October 2013

Blatter aendelea kupata upinzani juu ya mpango wake wa kusogeza mashindano ya Kombe la Dunia majira ya joto nchini Qatar



Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA Sepp Blatter ameendelea kukumbana na upinzani mkali juu ya pendekezo lake la kutaka kuhamisha mashindano ya Kombe la Dunia ya mwaka 2022 yaliyopangwa kufanyika nchini Qatar wakati wa majira ya baridi. Blatter amependekeza mashindano ya Kombe la Dunia yaliyopangwa kufanyika nchini Qatar kusogeza kutoka majira ya joto hadi yale ya baridi kutokana na wakati huwa joto kuwa kali mno na huenda likawathiri wachezaji.www.tabasamuleo.blogspot.com

No comments:

Post a Comment