Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 21 December 2013

ONA PICHA ZA JINSI SIMBA ALIVYO MCHAPA YANGA JANA NA SHAMRA SHAMRA ZA KUPOKEA KOMBE NA MASHABIKI WALIOZIMIA.


Wachezaji wa Simba na Yanga wakisalimiana.

Kikosi cha Simba.

Kikosi cha Yanga.

Benchi la ufundi la timu ya Simba.

Benchi la Ufundi la Yanga.

Henry Joseph wa Simba (kushoto) akichuana na beki wa Yanga, David Luhende.

Henry Joseph wa Simba (kushoto) akichuana na beki wa Yanga, David Luhende.

Mashabiki wa Simba wakishangilia bao la kwanza la timu yao.

Raha ya ushindi.

Furaha kwa Simba.



Hamisi Kiiza akitafuta mbinu za kumtoka, Ramadhani singano.

Ivo Mapunda akiruka juu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

Mashabiki wa Yanga wakiwa hawaamini kilichotokea uwanjani baada ya kuchapwa 3-1 na watani zao wa jadi Simba.

Juma Kaseja akibembelezwa na Mbuyu Twite baada ya kusababisha

Mmoja wa mashabiki wa Yanga akitolewa nje baada ya kuzimia uwanjani.

Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Simba.

Wachezaji wa akiba wa Simba wakishangilia baada ya filimbi ya mwisho.

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic akishangilia baada ya timu yake kuibuka na ushindi wa 3-1.
Wachezaji wa Simba wakimnyanyua juu kocha wao, Zdravko Logarusic mara baada ya kumalizika kwa mchezo maalumu wa Nani Mtani Jembe uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1.









Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe akimkabidhi kombe nahodha wa Simba Haruna Shamte.



No comments:

Post a Comment