Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 21 December 2013

SIMBA NDIE MTANI JEMBE,CHAPA YANGA 3-1 OKWI AWAOKOA,KASEJA HOI.

Dakika chache zilizopita pale jijini Dar kunako mitaa ya TMK Simba sc wameicharaza timu ya Yanga kwa mvua ya magoli 3-1.

Emanueli Okwi ndie alifunga goli la kufuta machozi kwa Yanga huku Golikipa wa yanga Juma Kaseja akidondokwa na machozi mara baada ya kitundikwa goli la tatu.

Kilicho vutia kingine mara baada ya mchezo kuisha ni kitendo cha wachezaji watimu zote mbili kubadilishana jezi.

www.tabasamuleo.blogspot.com

No comments:

Post a Comment