Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Sunday 12 January 2014

REAL MADRID YAZIPUMULIA BARCA NA ATLETICO KILELENI..LA LIGA NAYO MWAKA HUU USIIPIMIE!

NAYO MWAKA HUU USIIPIMIE!
TIMU ya Real Madrid imepunguza pengo la pointi hadi kubaki tatu dhidi ya vinara Barcelona na Atlecito Madrid wenye pointi 50 kila mmoja, kufuatia ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya Espanyol.
Shukrani kwake kiungo wa zamani wa Tottenham, Luka Modric aliyefanya kazi nzuri ya kutengeneza bao hilo pekee linaloifanya Real iendelee kuwamo kwenye mbio za ubingwa kwa kufikisha pointi 47.
Nyota huyo wa Croatia, alileta raha ndani ya kikosi cha Carlo Ancelotti dhidi ya Espanyol baada ya kupiga shuti zuri la mpira wa adhabu lililounganishwa kimiani na beki Mreno, Pepe.

Juu kwa juu: Beki wa Real Madrid, Pepe akiruka juu kufungwa kwa kichwa bao pekee la ushindi la timu yake jana


Hapa anapongezwa na wenzake baada ya kazi nzuri
www.tabasamuleo.blogspot.com

No comments:

Post a Comment