Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Tuesday 14 January 2014

COASTAL UNION YAENDELEZA UBABE OMAN, MTAWAKOMA WAKIRUDI LIGI KUU


Coastal Union ya Tanga imeshinda mechi ya pili mfululizo katika ziara yake ya Oman, baada ya jioni ya leo kuwafunga wenyeji Nadi Oman mabao 2-0 kwenye Uwanja wa mjini Muscat. Mabao ya mabingwa hao wa Ligi Kuu 1988 yalitiwa kimiani na wachezaji waliopandishwa kutoka timu ya vijana, mshambuliaji Mohammed Miraj na beki Yussuf Chuma.

No comments:

Post a Comment