Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Friday 13 December 2013

HATIMAE SIMBA YAMALIZANA NA IVO MAPUNDA NA BEKI DONALD MOSOTI OMWANWA




Simba pia imemsainisha beki wa kati wa Gor Mahia Donald Mosoti Omwanwa,amesaini mkataba wa miaka miwili mbele ya katibu mkuu wa Simba Evodius Mtawala.




Donald Mosoti Omwanwa.....

Ivo Mapunda akisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba mbele ya katibu mkuu wa timu hiyo Evodius Mtawala.

No comments:

Post a Comment