Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Thursday 17 October 2013

JOHARI, UWOYA ‘WATELEKEZWA’ BAA

Stori: Jelard Lucas
NYOTA wa sinema za Kibongo, Blandina Chagula na Irene Uwoya wamedaiwa kutelekezwa katika Baa ya Miles Stone, Arusha.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, wawili hao walifika katika baa hiyo hivi karibuni na kuwasubiri vibosile maarufu wa madini ili waweze kula bata lakini wakawatelekeza hivyo wakabaki peke yao bila kuwa na vinywaji mezani.
Johari alipoulizwa kuhusiana na tukio hilo, alisema: “Hayo ni mambo ya blogu, mbona nina muda sana tangu nitoke Arusha, ipotezee hiyo habari.”

No comments:

Post a Comment