Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Friday 7 February 2014

SIMBA SC WAWEKA KAMBI SONY KWA AJILI YA MIGAMBO JUMAPILI


Kikosi cha Simba SC kimewasili mjini Tanga na kuweka kambi katika hoteli ya Sony Inn, tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji wao, Mgambo Shooting Jumapili Uwanja wa Mkwakwani, mjini humo. Simba SC imewasili Tanga mchana wa leo ikitokea Morogoro, ambako jana ilikuwa na mchezo mwingine wa ligi hiyo dhidi ya wenyeji, Mtibwa Sugar na kutoka sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

No comments:

Post a Comment