Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Tuesday 4 February 2014

BALOTELLI JAMANI KWELI 'MWEHU', HEBU ANGALIA ALIVYONYOA KAMA...

MSHAMBULIAJI wa AC Milan, Mario Balotelli amepamba vichwa vya habari tena baada ya kuibuka na mtindo mpya wa unyoaji kichwani.
Mshambuliaji huyo wa Italia jana usiku aliposti picha za mnyoo wake mpya katika akaunti yake ya Twitter.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ameonekana wa kipekee kwa mnyoo huo hatari. "Nimemaliza kunyoa, sasa naenda zangu kulala," hayo ndiyo maneno yaliyoambatana na picha hizo.

Inaitwaje hii: Mario Balotelli ameweka kwenye akaunti yake ya Twitter jana usiku picha hii ya mtindo wake mpya unyoaji
Balotelli katika mtindo mpya wa nywele



Balotelli amewahi kuweka mitindo hii ya nywele hapo kabla


Mitindo mingine ya nywele ya Balotelli hapo awali

No comments:

Post a Comment