Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 8 February 2014

PICHA: YANGA WALIPOWANYOOSHA WACOMORO TAIFA LEO



Kiungo wa Komorozine Sports, Moidjie Ali akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga, David Luhenda katika mchezo wa Ligi ya klabu Bingwa Afrika uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 7-0


Wacheaji wa Yanga wakishangilia baada ya kuifunga timu ya Komorozine Sports katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa timu ya Komorozine Sports.

Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa akimtoka mchezaji wa wa Komorozine Sports, Attouumane Omar katika mchezo wa Ligi ya Klabu Bingwa Afrika uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment