Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Sunday 2 February 2014

ONA JINSI SIMBA SC ILIVYOTOA DOZI NENE JANA TAIFA


Kiungo wa Simba SC, Ramadhani Singano 'Messi' kushoto akiwatoka wachezaji wa JKT Oljoro ya Arusha jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 4-0.


Shujaa wa hat trick; Mrundi Amisi Tambwe kushoto jana alifunga mabao matatu peke yake


Mpishi wa mabao; Ramadhani Singano 'Messi'kulia jana alitoa pasi za mabao yote


Mtu wa kazi; Awadh Juma Issa kushoto jana alicheza vyema nafasi ya kiungo


Winga teleza; Haroub Chanongo kushoto jana aliwakimbiza sana pembeni mabeki wa Oljoro


Guu la kushoto upande wa kulia; Messi japokuwa anatumia mguu wa kushoto, lakini hucheza upande wa kulia


Kitu nyavuni; Tambwe kulia akiuangalia mpira aliopiga ukitinga nyavuni, huku kipa wa Oljoro na beki wake wakimsaidia kushuhudia bao la pili jana la Simba


Asante Mungu; Amisi Tambwe akiwa amesujudu baada ya kufunga


Kikosi cha Simba SC jana


Kikosi cha JKT Oloro jana

No comments:

Post a Comment