Busquets alianza kuifungia Barcelona dakika ya 42 kabla ya Elustondo kujifunga dakika ya 60.
Barca sasa inaweza kukutana na wapinzani wao wakubwa Hispania katkka fainali ya michuano hiyo, Real Madrid ambayo jana imeifunga Atletico Madrid mabao 3-0.

La kwanza: Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barca jana usiku

Wangu: Messi akiambaa na mpira dhidi ya David Zurutuza Veillet jana
No comments:
Post a Comment