Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Wednesday 5 February 2014

BARCELONA YACHINJA 2-0 KOMBE LA MFALME, EL CLASICO LANUKIA FAINALI COPA DEL REY

TIMU ya Barcelona imejiweka kwenye nafasi nzuri ya kutinga Fainali ya Kombe la Mfalme baada ya jana usiku kuifunga Real Sociedad mabao 2-0 Uwanja wa Camp Nou.
Busquets alianza kuifungia Barcelona dakika ya 42 kabla ya Elustondo kujifunga dakika ya 60.
Barca sasa inaweza kukutana na wapinzani wao wakubwa Hispania katkka fainali ya michuano hiyo, Real Madrid ambayo jana imeifunga Atletico Madrid mabao 3-0.

La kwanza: Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Barca jana usiku

Wangu: Messi akiambaa na mpira dhidi ya David Zurutuza Veillet jana

No comments:

Post a Comment