Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Monday 23 December 2013

Mgimwa azushiwa kifo, Kikwete apasua kichwa

Na tanzania daima.
WAKATI mawaziri wanne wameng’olewa na wengine walioitwa mizigo wanatarajiwa kutimuliwa wakati wowote, Rais Jakaya Kikwete yupo katika wakati mgumu wa kusaka warithi wa nafasi hizo, Tanzania Daima limebaini.

Ugumu wa kusaka warithi wa mawaziri hao, umeongezeka zaidi jana baada ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk. William Mgimwa kuzushiwa kifo kutokana na afya yake kuzorota.

SOMA HABARI KAMILI
  http://hakileo.blogspot.com/2013/12/mgimwa-azushiwa-kifo-kikwete-apasua.html#more

No comments:

Post a Comment