Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 28 September 2013

VIJANA 14 NYOTA WA KIKAPU WAJIANDAA KWENDA USA


photo_a910d.png
Makamu wa Rais wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini-TBF Ndg. Phares Magesa akiwa na baadhi ya wachezaji nyota (vijana) wa timu ya Taifa ya Kikapu ya Tanzania ambao wanatarajiwa kwenda Marekani mwezi wa kumi katikati kwa ajili ya kambi ya Mafunzo katika Chuo Kikuu Cha Post-Connecticut, mafunzo hayo yataendeshwa na Kocha Albert Sokaitis akisaidiwa na Kocha Sconniers. Tuwasaidie VIJANA wetu kwa hali na mali ili washiriki vizuri Mafunzo hayo.www.tabasamuleo.blogspot.com

No comments:

Post a Comment