Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Sunday 22 September 2013

MPIRA UMEKWISHA, YANGA 2- 3 AZAM FC

YangaVsAzam_cee32.pngFULL TIME AZAM 3-2 YANGA

DK 90: Gooo Joseph Kimwaga anaipatia Azam bao la 3.

DK 80: Timu zinashambuliana kwa zamu

DK 69 Kipre Tchetche anapiga penati na kuisawazishia Azam.

DK 68 Azam wanapata penati baada ya Kelvin Yondan kuunawa mpira.

Dakika ya 66, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili

Azam FC 1 - 2 Young Africans
Dakika ya 60, Azam FC 1 - 1 Young AfricansAnaingia Hamis Kiiza kuchukua nafasi ya Jerson Tegete


DK 50: Didier Kavumbagu anaisawazishia Yanga

Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Azam FC 1 - 0 Young Africans

Dk 45 HALF TIME! Azam 1-0 Yanga

Dk 43 Mbuyu Twite anapiga shuti kali kuelekea lango la Azam lakini mpira unagonga mwamba na kutoka nje.

Dk 41 Kipre Balou anamchezea rafu Simon Msuva wa Yanga.

Dk 37 YELLOW CARD: Jockins Atudo wa Azam anaonyeshwa kadi ya njano kwa kuchelewa kupiga mpira uliokufa.


Dk 35 Tegete anakosa bao akiwa peke yake katika lango la Azam

DK 30: Azam FC 1 - 0 Yanga

DK Yanga wanakosa bao la wazi baada ya mpira uliopigwa na Kavumbagu kugonga mwamba.

Dk 5 Azam inalishambulia zaidi lango la Yanga.

Dk 1 GOOO...! Azam inapata bao la kwanza mfungaji John Bocco. AZAM 1-0 YANGA

Mpira umeanza hapa uwanja wa Taifa

Azam line up: Aishi Manula, Erasto Nyoni, Waziri Salum, David Mwantika, Jockins Atudo, Himid Mao, Farid Musa, Kipre Balou, John Bocco, Humphrey Mieno na Brian Umony


Yanga:  Ali Mustapha, Mbuyu Twite, David Luhende, Nadir Haroub 'Cannavaro', Kelvin Yondani, Athuman Idd, Simon Msuva, Frank Domayo, Didier Kavumbagu, Jerry Tegete na  Haruna Niyonzimawww.tabasamuleo.blogspot.com

No comments:

Post a Comment