Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Saturday 28 September 2013

TOTTENHAM HOTSPUR 1 - 1 CHELSEA


www.tabasamuleo.blogspot.com

Timu za Tottenham Hotspur na Chelsea zimetoka sare kwa kufungana 1-1 huku Tottenham Hotspur ikiwa ya kwanza kupata goli lake lilofungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 19 ya mchezo, mpaka mapumziko Tottenham Hotspur ilikuwa ikiongoza kwa goli hilo moja. Chelsea waliweza kupata goli lao la kusawazisha kunako dakika ya 65 kupitia kwa beki wake John Terry. Lakini mambo yalikuwa mabaya kwa siku ya leo baada ya mshambuliaji wa Chelsea Fernando Torres kupewa kadi nyekundu dk 81. Mpaka mwisho wa mchezo Tottenham Hotspur 1 - 1 Chelsea

Endelea kuitembelea Mjengwablog kwa matokeo zaidi ya mechi za leo na habari nyingine(P.T)

No comments:

Post a Comment