Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Monday 7 April 2014

ADEBAYOR AIREJESHA SPURS JUU YA MAN UNITED ENGLAND

TOTTENHAM Hotspur imerudi nafasi ya sita katika msimamo wa Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Sunderland usiku wa jana Uwanja wa White Hart Lane, London.
Emmanuel Adebayor alifunga mabao mawili na mengine yakafungwa na Kane, Eriksen na Sigurdsson, wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Cattermole.
Ushindi huo unaifanya Spurs itimize pointi 59 baada ya kucheza mechi 33 na kurejea nafaasi ya sita, ikiishuaha Manchester United kwa nafasi moja hadi ya saba. United imekusanya pointi 57 katika mechi 33.

Mtu muhimu: Adebayor akikimbia kushangilia jana baada ya kuifungia Spurs

No comments:

Post a Comment