Shukrani kwake Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo aliyefunga kwa penalti mara mbili dakika ya saba na 16 na kufanya vigogo hao wa Hispania wasonge mbele kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-0.
Real sasa inaweza kukutana na barcelona katika fainali ya michuano hiyo Aprili 19 mwaka huu.

We mkali: Sergio Ramos (kulia) akifurahia na Cristiano Ronaldo baada ya kufunga jana

Lakini alitoka: Ronaldo alitoka uwanjani dakika ya 75 kumpisha kinda mwenye kipaji Jese
No comments:
Post a Comment