Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Sunday 19 January 2014


BREAKING NEWS; BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA,ASHA MIGIRO,NKAMIA NA SAADA WAULA,NCHIMBI,KAGASHEKI OUT, MAGUFULI APETA.

Dakika chache zilizo pita katibu kiongozi wa Serikali ya Tanzania kwa niaba ya raisi Kikwete ametangaa baraza jipya la mawaziri.
HAYA NI MABADILIKO MAPYA

Wizara ya katiba na sheria ni Dk. Asha Migiro huku aliekuwa naibu akiendelea.
Wizara ya makamo wa raisi nchi na Mungano mabadiliko ni kwa naibu amabae ni ALL MWALIMU


Wizara ya fedha waziri ni SAADA MKUYA na naibu wake wapili ni Adamu Malima na MWIGULU NCHEMBA.
wizara ya viwanda na biashara naibu wake ni Janeth Mmbene.
Wizara ya ulinzi waziri ni Hussen Mwinyi.
Mambo ya Ndani ni MATHIAS CHIKAWE.


Wizara ya Afya waziri ni SEIF RASHID naibu wake ni STEVEN KEBWE.
Wizara ya elimu naibu waziri ni JENISTA MUHAGAMA.
Wizara ya maendeleo ya jamii na watoto PINDI CHAMA.
Wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi waziri ni TAITASI KAMANI na naibu ni KAIKA SALIGIGO PELELE mbunge wa Ngorongoro

Wizara ya Ardhi naibu wake waziri ni JOJI SIMBA CHAWENE.
Wizara ya Maji naibu waziri ni AMOSI MAKALA.
Wizara ya Kilimo naibu waziri ni Godfrey MZAMBI.
Wizara ya Habari utamaduni na michezo naibu wazri ni JUMA NKAMIA.

Wizara ya Mali asili na Utali waziri ni LAZARO NYALANDU naibu wake ni MAHAMAD MGIMWA
Wizara ya nishati naibu waziri ni CHARZI KITANGWA.
WIZARA AU NAFASSI AMBAZO HAZIJATAJWA ZIMESALIA BILA MABADILIKO MFANO WAZIRI WA ELIMU BADO NI SHUKURU KAWAMBO

No comments:

Post a Comment