Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Monday 31 March 2014

ERITREA YAJITOA AFCON 2015

SHIRIKISHO la Soka Eritrea limelitaarifu Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kujitoa kwenye michuano ya 30 ya Kombe la Mataifa ya Afrika ambayo fainali zake zitafanyika nchini Morocco mwaka 2015.
Taarifa ya CAF iliyotumwa BIN ZUBEIRY, imesema kwamba kwa maana hiyo, mchezo wa hatua ya mchujo baina ya Eritrea na Sudan Kusini umefutwa na sasa wapinzani wao hao wanafuzu moja kwa moja hatua inayofuata.

No comments:

Post a Comment