Pages

ELIMU KWANZA.

ELIMU KWANZA.
FEDHA SIO KIPAUMBELE CHETU.

Sunday 26 January 2014

OSCAR ANOGESHA BIRTHDAY YA MOURINHO LEO, AIFUNGIA BAO PEKEE CHELSEA DHIDI YA STOKE KOMBE LA FA

BAO pekee la Oscar limempa raha Jose Mourinho akitimiza miaka 51 ya kuzaliwa baada ya kuilaza 1-0 Stoke City katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA.
Mourinho alimpanga Oscar namba 10, nafasi ya Juan Mata aliyehamia Manchester United na akaziba vyema pengo hilo kwa kufunga dakika ya 28.

Mshindi wa mechi: Oscar akishangilia baada ya kuifungia kwa mpira wa adhabu Chelsea jana.

No comments:

Post a Comment