
Mshambuliaji wa Galatasaray, Didier Drogba kushoto akipambana na Nahodha wa Chelsea, John Terry katika mchezo wa kwanza 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu, timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Drogba alicheza pamoja na Terry Chelsea kwa muda mrefu

Terry akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa Drogba

Terry akigombea mpira wa juu na Drogba

Drogba akijiandaa kubinuka tik tak mbele ya Terry


Drogba akimiliki mpira mbele ya Branislav Ivanovic na Gary Cahill

Drogba akitaniana na Ramires wakati wa mechi

Drogba alipumzishwa na kocha wa Gala, Roberto Mancini kulia mwishoni mwa mchezo


Drogba akimkokota Gary Cahill

Drogba (katikati) akimpongeza mfungaji wa bao la Chelsea, Fernando Torres baada ya mechi

Frank Lampard akimpa heshima yake Drogba baada ya mechi

Mashabiki wa Galatasaray wakiwa wameshika bango la Drogba
No comments:
Post a Comment